Muuguzi Mkuu Sikitu Mbilinyi wa Hospitali ya Ifisi,akitoa
taarifa ya majeruhi waliopokelewa katika Hospitali hiyo ya Ifisi,kufuatia ajali
ya Kampuni la Mwasha ambalo husafirisha abiria kutoka Sumbawanga/Mbeya na
Mbeya/Sumbawanga. Hii imegunduliwa baada ya ajali iliyotokea hivi karibuni
katika eneo la Senjele,Wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya,baada ya basi hilo
kupinduka ambapo zaidi ya abiria 50 walijeruhiwa na kukimbizwa katika Hospitali
ya Ifisi Wilaya ya Mbeya Vijijini.
Hata hivyo imedaiwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni kutokana na
basi hilo kubeba mizigo mizito na kujaza abiria kupita kiasi na usukani wake
kufungwa kamba ya katani na mti.
(Picha zote na Ezekiel Kamanga,Senjele)
|
No comments:
Post a Comment