Mpamano wa Mashaiki wa Jadi Simba na Yanga siku ya Jumapili 30/12/2012 ndani ya Viwanja vya Leaders Club kwenye Bonanza la Twanga limeanza kuwa gumzo Mtaani. Mashabiki wa Simba na Yanga wameendelea kutambiana huku kila kundi likidai kuwa litamkandamiza mwenzie.
Tamasha hilo limeandaliwa maalum ili kuzifanya familia na mashaiki wa Twanga pamoja na wale wa Simba na Yanga kuwa Wamoja.
Ratiba ya Bonanza hilo hii hapa:
Tamasha hilo limeandaliwa maalum ili kuzifanya familia na mashaiki wa Twanga pamoja na wale wa Simba na Yanga kuwa Wamoja.
Ratiba ya Bonanza hilo hii hapa:
SUNDAY SOCCER BONANZA
LEADERS
CLUB KINONDONI
BONANZA LA
KUFUNGA MWAKA - THE SPECIAL TWANGA FAMILY DAY 2012 BONANZA
KUNDI A KUNDI
B
1.
LEADERS FC 1.
NAMANGA FC
2.
BRAKE POINT 2.
MANGO GARDEN
3.
TASWA FC 3.
SINGASINGA
4.
KIVUKONI 4.
DALADALA CAMP
RATIBA ZA MICHEZO KUANZIA SAA 04:00 ASUBUHI HADI SAA
08:30 MCHANA
|
|||
MUDA
|
KUNDI
|
TIMU
|
MATOKEO
|
04:00 – 04:30
|
KUNDI
A
|
LEADERS FC VS TASWA FC
|
|
04:30 – 05:00
|
KUNDI
B
|
NAMANGA FC VS DALADALA CAMP
|
|
05:00 – 05:30
|
KUNDI
A
|
BRAKE POINT VS KIVUKONI
|
|
05:30 – 06:00
|
KUNDI
B
|
MANGO GARDEN VS SINGASINGA
|
|
NUSU
FAINALI
|
|||
06:00 – 06:30
|
MSHINDI No. 1 A VS MSHINGI No.2B
|
|
|
06:30 – 07:00
|
MSHINDI No.1B VS MSHINGI No. 2A
|
|
|
FAINALI
|
|||
07:00 – 07:30
|
MSHINDI KATI YA NO. 1A NA NO. 2B VS MSHINDI
NO. 1B NA 2A
|
|
|
MECHI
MAALUM ZA UHAMASISHAJI KATI YA MASHABIKI WA TIMU ZA ZINAZOONGOZA LIGI KUU
TANZANIA BARA
|
|||
07:30 – 08:00
|
AZAM FANS VS COASTAL UNION FANS
|
|
|
08:00 – 08:30
|
YANGA FANS VS SIMBA FANS
|
|
|
BURUDANI
ZA BENDI MBALIMBALI
|
|||
08:30 – 9:00
|
BONGO FLAVA
|
||
09:30 – 10:20
|
DOKII
|
||
10:20 – 10:40
|
HAJJI BSS
|
||
10:40 – 12:00
|
MSONDO NGOMA
|
||
12:00 – 01:00
|
TWANGA ACCADEMY
|
||
01:00 – 04:00
|
TWANGA PEPETA
|
1. Michezo yote
itakuwa ya mtoano na hakuna muda wa nyongeza.
2. Timu zikienda sale sheria ya mikwaju ya adhabu
(Penati) itatumika.
3. Mchezaji akipewa kadi nyekundu hatoruhusiwa kuingia
tena hadi mwisho wa michezo.
4. Sheria zote 17 za soka zitatumika katika michezo hii
5. Mshindi wa kwanza kwenye Bonanza la awali atapata pea ya jezi na
shilingi laki moja (100,000/=)
6. Mshindi wa pili atapata mpira mmoja na shilingi elfu
hamsini (50,000/=)
7. Bonanza la Mashabiki wa timu zilizoko ligi kuu
watapata hawatahusika na zawadi zilizotajwa hapo juu kwakuwa hizo ni mechi za
kujenga UDUGU wa kishabiki.
________________________
MODDY PIZZARO
MRATIBU
No comments:
Post a Comment