SIMBA SC |
MNYAMA MLEMAVU APENDEZA TAIFA
Mnyama Simba SC leo ameendelea kutakata Taifa japo
kuwa katika kipindi cha kwanza wali maliza wakiwa pungufu baada ya Emmanuel
Okwi kupewa kadi nyekundi. Alikuwa Amri Kiemba aliyeanza kuwanyanyua mashabiki
wa Simba SC katika kipindi cha pili kabla ya Haruna Moshi 'Boban' kuhitimisha
kwa goli la pili akiunga pasi ya Mrisho Ngassa. Kwa mara nyingine Simba SC
wametoka uwanjani bila nyavu zao kuguswa.
RUVU JKT |
AZAM FC |
TOTO AFRICANS |
KAGERA SUGAR |
KANDA YA ZIWA YAWA NGUMU KWA AZAM FC
Kanda ya ziwa imekuwa ngumu kwa Azam FC kuondoka na
point zote 6 baada ya msimu huu kama msimu uliopita wameondoka na point 4 baada
ya kuifunga Kagera Sugar Goli moja na kutoka sare ya goli 2-2 na Toto Africa uwanja
wa CCM Kirumba. Toto walikuwa wa mwanzo
kupata goli katika dakika ya 20 kupitia kwa Mussa Said na dakika 6 mbele Azam
walisawazisha goli hilo kupitia kwa Abdulhalim Homoud. Azam walifunga goli la
pili katika dakika ya 83 kupitia kwa Kipre Tchetche kabla ya Maganga
kuisawazisha Toto Africa katika dakika ya 90 na kupelekea mchezo kumalizika kwa
sare ya 2-2.
UKUTA WA BERLIN WABOMOLEWA JAMHURI.
UKUTA WA BERLIN WABOMOLEWA JAMHURI.
Ukuta wa Berlin uliojengwa katika uwanja wa Taifa
katika michuano ya Kagame leo umebomolewa katika uwanja wa Jamhuri Morogoro
baada ya kupokea Kichapo cha goli 3-0 toka wakata miwa wa Manungu. Yanga inayosifika kwa kujenga safu kali ya
ulinzi walijikuta wanaruhusu goli katika dakika ya 11 kupitia kwa Dikson Daud
kabla ya Hussein Javu kuipeleka Mtibwa Mapumziko wakiwa mbele kwa goli 2-0, kwa
kuifungia Mtibwa goli la pili katika dakika ya 45. Ukuta huo wa Yanga ulikuwa
mwepesi kwa Javu na mnamo dakika 77 aliifungia Mtibwa goli la 3 kabla ya Hamisi
Kiiza kukosa penati na kupelekea Yanga kumaliza mchezo wa pili bila kuona nyavu
za wapinzani wake na kukubali kichapo cha goli 3-0.
YOUNG AFRICANS FC |
MTIBWA SUGAR |
COASTAL UNION |
AFRICAN LYON |
MATOKEO MENGINE
1. Uwanja
Wa Taifa Dar Es Salaam - Simba Sc 2-0 JKT Ruvu
2. Uwanja
Wa Jamhuri Morogoro - Mtibwa Sugar 3-0 Yanga
3. Uwanja
Wa Ccm Kirumba Mwanza - Azam Fc 2-2 Toto African
4. Uwanja
Wa Sokoine Mbeya - Prisons 1-1 Coastal Union
5. Uwanja
Wa Mabatini Kibaha - Ruvu Shooting 2-1 Mgambo Shooting
6. Uwanja
Wa Kaitaba Bukoba -Kagera Sugar 0-0 JKT Oljoro
7. Uwanja
Wa Chamazi Dar Es Salaam - African Lyon 1-0 Polisi Morogoro
RUVU SHOOTING STARS |
Ligi hiyo ya Vodacom itaendelea tena mwishoni mwa
wiki kwenye viwanja toafauti kama ifuatavyo:
MECHI ZA
JUMAMOSI 22/09/2012 NI KAMA IFUATAVYO:
Yanga Vs JKT Ruvu – Uwanja wa Taifa Dar es Salaam
Azam FC Vs Mtibwa Sugar – Uwanja wa Chamazi Dar es
Salaam
JKT Oljoro Vs Polisi - Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
Arusha
Coastal Union Vs Toto Africans – Uwanja wa Mkwakwani
Tanga
MECHI ZA JUMAPILI
23/09/2012 NI KAMA IFUATAVYO:
Mgambo JKT Vs Kagera Sugar – Uwanja wa Mkwakwani
Tanga
Simba Vs Ruvu Shooting Stars – Uwanja wa Taifa Dar es
Salaam
African Lyon Vs Tanzania Prison – Uwanja wa Chamazi
Dar es Salaam
MSIMAMO WA
LIGI HADI SASA 20/09/2012 HUU HAPA;
SN
|
Team
|
M
|
W
|
D
|
L
|
GF
|
GA
|
PT
|
1
|
2
|
2
|
0
|
0
|
5
|
0
|
6
|
|
2
|
2
|
1
|
1
|
0
|
3
|
0
|
4
|
|
3
|
2
|
1
|
1
|
0
|
3
|
2
|
4
|
|
4
|
2
|
1
|
1
|
0
|
2
|
1
|
4
|
|
5
|
2
|
1
|
0
|
1
|
3
|
3
|
3
|
|
6
|
2
|
1
|
0
|
1
|
2
|
3
|
3
|
|
7
|
2
|
1
|
0
|
1
|
1
|
3
|
3
|
|
8
|
2
|
0
|
2
|
0
|
3
|
3
|
2
|
|
9
|
2
|
0
|
2
|
0
|
1
|
1
|
2
|
|
10
|
2
|
0
|
2
|
0
|
1
|
1
|
2
|
|
11
|
2
|
0
|
1
|
1
|
0
|
1
|
1
|
|
12
|
2
|
0
|
1
|
1
|
0
|
1
|
1
|
|
13
|
2
|
0
|
1
|
1
|
0
|
3
|
1
|
|
14
|
2
|
0
|
0
|
2
|
1
|
3
|
0
|
Yanga haiwezi kuwa mkiani, round ijayo fanyeni hima watani tunawangaojea tule sahani moja. Ndio raha.
ReplyDelete