BM BARBERSHOP KINONDONI

Monday, October 1, 2012

NITAGOMBEA URAIS KUPITIA CHADEMA NA SI UBUNGE ASEMA ZITTO


Narudia tena na tena na safari hii kwa kusisitiza:  Mwaka 2015 sitagombea Ubunge, nitafanya kampeni ya Urais, ama mimi kama mgombea wa chama changu CHADEMA au kama mpiga debe wa mgombea wa chama changu. Miaka 10 ya Ubunge inatosha na kwa ngazi hiyo ni vema niwaachie wengine wasukume mbele gurudumu la maendeleo ya Jimbo na mkoa wetu wa Kigoma. Huu ndio uamuzi wangu wa mwisho na nimeshawaeleza wananchi wa Jimbo langu na mkoa wa Kigoma toka mwaka 2005. 

No comments:

Post a Comment