Mji wa Iringa ni miongoni mwa miji isiyoisha Vituko. kila
uchao ni VITUKO, VIBWEKA na VIMBWANGA vya kila aina. ZAWADi KARIM Binti mwenye umri wa
miaka 16 mkazi wa mshindo karibu na Benki ya NBC iliyoko Halmashauri ya Manisapaa
ya Iringa amepigwa na mama yake mdogo na kulazimishwa kunywa Mkojo. Mama huyo
Mkatili anaitwa Eva Ubamba.
Mkasa mzima uko hivi: mtoto
zawadi anaishi na mama yake mzazi wa kumzaa kabisa ambaye kwa kipindi cha tukio
alikuwa naumwa. Mama mdogo KATILI Eva alikuwa nje na marafiki zake ndipo mama
yake mdogo huyo akamwiita ndani ya
nyumba yao hiyo wanayoishi mtaa wa
mshindo mjini Iringa.
mshindo mjini Iringa.
Baada ya kumuita zaidi ya mara tatu na motto kushindwa
kuitikia kutokana na ama kutokusia au kiburi lakini baadaye aliitika na kuingia
ndani na ndipo alipo ambiwa avue nguo zote na huyo mama yake mdogo.
Baada ya muda mfupi Zawadi alianza kupokea kipigo kikali kutoka
kwa mama yake mdogo. Katika kipigo hicho Zawadi alipigwa pamoja na
kunyweshwa mkojo kutoka kwa mama yake mdogo huyo. Zawadi ambaye ni mtoto wa
kuzaliwa na Dada yake Eva inadaiwa kipigo hicho kimesababishwa na tuhuma kwamba
eti familia hiyo haina mtoto kama yeye zawadi. Duuh hatareeeee
No comments:
Post a Comment