| HAPPY BIRTHDAY BABA....Mzee Mutta na Mama Mutta wakipokea zawadi kutoka kwa dada Rose Kimaro wa Muheza na Dada Rose-Monica Mutta wa Lushoto (Second Born baada ya mimi) |
| Watoto na Wajukuu wa Mzee Mutta kabla ya Tafrida |
| Maandalizi ya mwisho Dada Rose-Mutta na Deo Mutta |
| Kutoka kushoto ni Mama Mutta, Mama Mkubwa mama Bendera na Mzee Mutta akipokea salam za pongezi kwa simu |
| Me My self jamani |
| Filbert Mutta na Binti yake Caren Filbert Mutta |
| Kutoka kushoto ni Binti yetu Karen, Filbert Mutta na My Self mwenyewe Deo Mutta Kubwa la Maadui |
| Huyu ni Ernest Bahati Mjukuu wa Kwanza wa Mzee Mutta Mtoto wa Dada Rose-Monica Mutta aliyeshikwa bega na babu yake, Steven Bendera, Mzee Mutta mwenyewe na Mjukuu Karen wakifurahia wakati wa tukio |
| Mtoto Mutta alizawadiwa Mashuka na Mabinti zake na Wakwe. Kutoka Kushoto ni Jaquiline Deo Mutta My Wife, Rose-Monica Mutta, Mrs. Victor Nguji, Rose Kimaro na Magreth Muyombo |
| Zawadi time... Dogo Mutta na Mkewe Mary wanachekelea SHUKA kutoka kwa binti yao Rose-Monica Mutta walikuwa hawana mashuka wamefurahi sana |
| Zawadi time Rosemonica Mutta na Filbert Mutta na Karen Filbert |
| Mduara time |
| Beatrice Sabali all the way from Arusha was there |
| Mama Lao Jaquiline Deo Mutta Mama Watoto anaduarika |
| Wadada kutoka Kushoto Shemeji Mama Caren, My Wife Jaq Deo Mutta, Grace Kimaro na dada Restituta Mutta |
|
| Rose-Monica Mutta, Beatrice Sabali, Magreth Muyombo and Naku Muyombo |
| Beatrice Sabali and Magreth Muyombo |
| Majirani wametuunga Mkono |
| Mzee Mutta na Mzee Rugaimukamu |
| Mduara kama kawa kama dawa |
| Mduara kama kawa kama dawa |
| Kisigino cha Twanga Pepeta kama kawa kama Dawa |
No comments:
Post a Comment