BM BARBERSHOP KINONDONI

Saturday, August 4, 2012

NANI AMEKUAMBIA KUWA KIDA WAZIRI KAZEEKA???

 HUYU NI IRON LADY KIDA WAZIRI WA MIAKA YA 1990

Kida Waziri au kama alivyokuwa akiitwa enzi zake Vijana Jazz Stone Lady amerudi na album yake yenye nyimbo 6 ikiwa na nyimbo kama Wifi zangu, Shingo Feni, Penzi haligawanyiki na nyinginezo, pia ameimba wimbo wa Mary Maria akishirikiana na mwanae Waziri, ambae kajitahidi kuimba zile sehemu za uimbaji wa marehemu babake.
 
KIDA WAZIRI WA DUNIA YA LEO YA UTANDAWAZI 2012

1 comment:

  1. Kida Waziri, nilikua nakuona enzi zako na maneti unavyomiliki jukwa kwa uimbaji murua na sauti ya kupendeza. Jitahidi mama bila shaka utapata support yetu kwani ulikua mahiri sana....Nadhani hili unalitambua.

    ReplyDelete