PICHA ZOTE NI KWA HISANI YA MBEYA YETU BLOG
Mpiga picha Mkuu alikuwa ni Ndugu Joseph Mwaisango na
 |
Waandishi wa Habari na Wanakijiji wakiwa wamebeba Mwili wa Marehemu
Daudi Mwangosi kuelekea Makabirini
|
 |
Ibada ya Mwisho ya Marehemu Daudi Mwangosi kabla ya kuingizwa Kaburini |
 |
Mwili wa marehemu Daudi Mwangosi ukishushwa kwenye nyumba yake
ya milele
 |
Mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi ukiwa ndani ya Kaburi
|
|
 |
Mazishi yanaendelea
|
 |
Mke
wa Marehemu Daudi Mwangosi akiweka Shada la Mauwa kwenye Kaburi la Mume wake kwa machungu |
 |
Mke wa Daudi Mwangosi alishindwa kujizuia hapa akiwa amelala kwenye Kaburi la Mumewe akiwa analia kwa uchungu mwingi inasikitisha sana
|
 |
Ni ngumu sana Kuamini kwa mke wa Marehemu lakini hali ndivyo
ilivyo kuwa akiwa na huzuni kubwa |
 |
Watoto wa Marehemu wakiwa wanaweka mashada ya maua kwenye Kaburi la Baba yao hawatamuona tena
|
 |
Waandishi wa Habari walikuwa makini kuhakikisha wanapata Picha kwenye kila hatua wakati wa Mazishi
|
 |
Mbunge wa Jimbo la Rungwe na Waziri asiye na Wizara Maalum Mh. Prof. Mark Mwandosya akiweka Taji la maua pamoja na mkewe
|
 |
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dr Willboard Slaa akiweka Shada la Mauwa kwenye Kaburi la Marehemu
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dr Willbroard Slaa ameshaweka shada
|
 |
Rais wa UTPC akiweka shada la Maua
|
 |
Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu, Ndugu Joseph Mwaisango
akiwa anatoa heshima zake za Mwisho katiaka Kaburi
|
 |
Ndugu wa Marehemu akiweka shada la Maua
|
 |
Mwenyekiti wa Mbeya Press Club akiweka shada la maua
|
Hivi ndivyo jinsi safari ya Mwisho Ndugu yetu,
Mwanaharakati, Mpiganaji Daudi Mwangosi aliyekuwa Mwandishi wa Chanel 10.
TONE MULTIMEDIA COMPANY LIMITED AMBAO NI WAMILIKI WA MTANDAO
WA MBEYA YETU, WANAWAPA POLE SANA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WALIOPATWA NA
MSIBA MKUBWA, KAMA WANAHABARI PIA WAMESIKITIKA SANA KUTOKANA
NA MSIBA HUU. MUNGU AILAZE MAHALI PEMA PEPONI ROHO YA MAREHEMU.
No comments:
Post a Comment