BM BARBERSHOP KINONDONI
Tuesday, September 4, 2012
MSAFARA WA WAANDISHI WA HABARI KUELEKEA TUKUYU KWA MAZISHI YA MWANGOSI
Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Mbeya wakiwa wanajiweka sawa tayari kwa Safari ya kuelekea Tukuyu kwa ajili ya Mazishi
Safari ikiwa imeanza kuelekea Tukuyu
Safari inaendelea
Hapa safari inaendelea kama kawaida
Hakuna Mwandishi wa habari hata mmoja aliye na Furaha wengi wanaonekana wakiwa na uchungu, juu ya kifo cha Mwandishi mwenzao.
Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu, wa kwanza kushoto ndugu Joseph Mwaisango ndani ya Basi kuelekea katika Msiba na Mazishi muda huu
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment