Bendi ya Exta Bongo
wametoa Ratiba yao ya Iddi kama ifuatavyo:
Idd Mosi Bendi ya
Extra Bongo itatoa Burudani katika Ukumbi wa New White Kimara ambao wanauliki
wao wenyewe. Idd pili Extra Bongo watakuwa ndani ya Sinza kwenye ukumbi wa
Meeda Njoo wewe na Yule uone kile walichokifanya walipokuwa Ughaibuni…. ULAYA
ULAYA
No comments:
Post a Comment